Tangazo Muhimu:

Karibu katika tovuti ya IFM Fellowship CCR,Tafadhali jiskie huru kutoa maoni yako juu ya hii tovuti.

Hospitality


KAMATI YA MATENDO YA HURUMA (HOSPITALITY)

Kamati:

  •   Anthony Uisso ( Mwenyekiti) UDHURU
  •   Annamaria Anthony (M/KitiMsaidizi) UDHURU
  •   Francis Philemon (Mjumbe)
  •   ScholastikaKanyika (Mjumbe)
  •   TumainiMfujege (Mjumbe)
  •   Bether William (Mjumbe)
  •   Veronica Mbawa (Mjumbe)
Malengo:

-    Kuhakikisha kila tunadumisha undugu na Upendo katika jumuiya yetu na nje ya jumuia tukisaidiana katika shida na raha, yaani ukiwa mhitaji/shida mfano, kuugua,kufiwa na shida nyinginezo kuhakikisha tunajua nani ana uhitaji gani na kumfikia kumfariji na kumsaidia kadiri Mungu atavyotuwezesha na kutuongoza.

-    Kuwasaidia wahitaji wa Nje ya kikundi; mfano.wagonjwa, yatima,wafungwa n.k

Walengwa:
-    Wageni katika kuwakaribisha ndani ya kikundi chetu cha IFM charismatiki
-    Wanakikundi wapya katika kuhakikisha wanajiunga nasi kutokana na uhalisia.
-    Wanakikundi wote katika matendo ya jumuiya (sherehe,harusi, ugonjwa, matendo ya ukarimu kwa wanakikundi  na nje ya kikundi

Huduma:
Ufuatiliaji wawanakikundi wapya kwakuhakikisha wanapata habari njema nahusika ili waweze kubaki na Yesu pia kikundi katika uhalisia wahali kabla hawajaingia kwenye huduma husika.

-Mahudhurio ya wanakikundi cha IFM Karismatiki,wageni na wanaotaka kujiunga na kikundi.

-Kushiriki huduma tunazopangiwa na kamati kuu.

Mikakati (2012):
i)   Kuandaa vipindi vya mafundisho kuhusu huduma wakati wa masaa ya fellowship.
ii)  Kutayarisha wanakikundi wapya katika kutambua karama husika ndani ya kikundi
iii) Kuandandaa matendo ya huruma mara angalau mara 3 katika mwaka huu.
     (Wakati wa Kwaresima, mweziwa 7 na mwezi wa ukaribisha mwaka)

Copyright @ 2013 IFM CCR. Template by: Templateism